Sospeter Muhongo ajiuzulu, Mabadiliko madogo yafanyika kwa upande wa Mawaziri na manaibu wao..
Mawaziri
George Simbachawene – Waziri wa Nishati na Madini
Mary Nagu- Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais- Mahusiano na Uratibu
Christopher Chiza- Waziri Uwezeshaji na Uwekezaji
Harrison Mwakyembe- Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
William Lukuvi- Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi
Steven Wasira- Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Samuel Sitta- Waziri wa Uchukuzi
Jenista Muhagama- Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge
Manaibu Waziri
Stephen Masele - Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu Rais- Muungano
Angela Kairuki - Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi
Ummy Mwalimu - Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Anne Kilango - Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Charles Mwaijage - Naibu Waziri wa Nishati na Madini
No comments