MAGUFULI apitishwa na CCM Kuwa mgombea urais kupitia chama hicho
Katikakura zilizopigwa jana huko Dodoma inaonesha kuwa magufuli amewapiga kumbo Asharose Migiro na Amina Salum.
Magufuli amejipatia 87% ya kura, Asharose Migiro10%, Amina Salum3% hivyo hii ni dhahiri kuwa Magufuli ndiye mteule wa CCM kugombea Urais mwaka 2015.
Kupitia ukurasa wa twitter wa CCM walitoa matokeo haya;
Magufuli amejipatia 87% ya kura, Asharose Migiro10%, Amina Salum3% hivyo hii ni dhahiri kuwa Magufuli ndiye mteule wa CCM kugombea Urais mwaka 2015.
Kupitia ukurasa wa twitter wa CCM walitoa matokeo haya;
Matokeo ya kura za Wagombea kutokana na Mkutano Mkuu ni : Mhe.John Magufuli 87%, Dk.Asha Migiro 10% na Balozi Amina Ali 3%
#KaribuDodoma

No comments