RAIS Athibitisha majina matano ya wagombea yaliyopitishwa na CCM
Taarifa zilizagaa mitandaoni kuhusu majina majina matano yaliyopitishwa katika mchujo wa kwanza wa wagombea CCM.
Awali Majina hayo yaliwekwa katika ukurasa wa twitter wa CCM, lakini sasa Rais Jakaya Kikwete naye ameweka majina hayo yaliyopita katika ukurasa wake wa twitter ambapo alipost hivi.
“Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe John Magufuli Asha Rose Migiro Januari Makamba Amina S. Ali“– @jmkikwete
Awali Majina hayo yaliwekwa katika ukurasa wa twitter wa CCM, lakini sasa Rais Jakaya Kikwete naye ameweka majina hayo yaliyopita katika ukurasa wake wa twitter ambapo alipost hivi.
“Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe John Magufuli Asha Rose Migiro Januari Makamba Amina S. Ali“– @jmkikwete
Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni:
Bernard Membe
John Magufuli
Asha Rose Migiro
Januari Makamba
Amina S. Ali

No comments